RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi mwandamizi Marco
Chilya,akiwaonyesha Waandishi wa Habari(hawapo pichani)baadhi ya
milipuko(baruti) a...
Tuesday, May 18, 2010
HABARI NJEMA....
Hizi ni habari njema kwenu wadau wa blog hii ya burudani MNM,blog yenu inazidi kuboreshwa zaidi na zaidi,sasa twaweza kuchat kupitia blog hii,upande wa kulia wa blog kuna chat room kwa ajili yenu fans kufanya chochote mtakacho,isipokuwa matusi tu ndo hayahitajiki,pia kuanzia sasa tutakuwa na "video ya wiki" upande huo huo wa kulia wa blog,waweza kuclick na youtube itafunguka nawe kuweza kucheki hiyo video yetu ya wiki,na kuanza,leo tunaanza na video inayobamba kinoma ya mwanadada kutoka "Young MONEY" Nicki Minaj,kitu inaitwa "Massive Attack",ENJOY!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:13 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment