TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Muonekano wa boti mbili za Utafutaji na Uokozi zinazokwenda kutoa huduma
Ziwa Tanganyika na Tanga.
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwaka...
Thursday, May 20, 2010
USIKU WA REGGE(MUSIC LIVE)
Huu ni upendeleo mwingine kabisa kwa wakazi wa Iringa(I town),usiku wa regge now ndani ya ukumbi wa IDYC(zamani MAKOSA) jumapili hii,live band huku zikipigwa ngoma mbalimbali za legendaries wa regge duniani kama Robert Nesta Marley(Bob Marley) na wengineo wengi,pia bata mdogo mdogo kwa kwenda mbele,usiikose hii mwana,"kauchakavu" mlangoni ni buku tatu tu za kibongo kuanzia saa mbili usiku mpaka "mswaki",tukutane pale.
Posted by RENATUS KILUVIA at 3:16 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment