BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, June 9, 2010

OLD SKOOL...UNAWAKUMBUKA HAWA??...

TOTAL

Wanaitwa TOTAL,kundi lililofanya vizuri sana miaka ya 1994-2000,kutoka New York na walikuwa wanafanya R+B,Hiphop and Soul,na lebels walizokuwa wanafanya nazo kazi ni Bad Boy/Arista Records,lilikuwa linaundwa na Keisha Spivey,Pamela Long na Kima Laynor,kwa sasa Keisha ni mama wa familia,aliolewa na muigizaji Omar Epps(mcheki ktk JUICE) mwaka 2004 na wanaishi Califonia na tayari wana watoto wawili binti K'marie(2004) na wa kiume Amir(2007),Pamela yeye anaishi New Jersey,ni memba wa Agape Family Worship Centre iliyoko Rahway,NJ,AMEOKOKA,na sasa anatayarisha albam yake inaitwa "Undeniable" ambayo itatoka mwaka 2011 na Kima tayari yuko katika ngoma ya mdogo wake rapper Vita "what u want".Total itarudi soon coz wako kwenye mazungumzo ya kulirudisha kundi,so kama umewamiss wasubiri....

0 comments: