BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, June 10, 2010

UJUMBE WA PRODUCER KWAME KWA MAPRODUCER WA KIBONGO..

KWAME

Mchizi ni mkali,na ninaposema ni mkali ninamaanisha ni MKALI kwelikweli,anaitwa KWAME,ukisikia hili jina kwa mara ya kwanza waweza fikiria labda mchizi ni m'bongo,au kama si m'bongo basi labda atakuwa kutoka Afrika Magharibi vile,ni producer ambaye juzi kati amezungumza kitu nikaona sio ishu,inaweza kuwasaidia maproducer wetu wa kibongo au wale wenye ndoto za kuwa maproducer baadae,ni kwamba mchizi kasema kazi ya music production kinachomata ni "OUTPUT" ya producer mwenyewe na  wala haichangiwi na wingi wa mashine azitumiazo producer huyo,mfano ni kwamba ukisikia ngoma kali basi jua si lazima studio au producer aliyefanya ngoma hiyo awe na mashine nyiiingi pale studio,akaongeza kwamba producer aweza kuwa na laptop tu na akafanya bonge la beat la kushangaza ulimwengu huu wa MUSA.So ushapata jibu sasa,wale wanaodata na wingi wa mashine studio huku output ikiwa POOR litazameni NENO la jamaa,ni KWAME.

0 comments: