BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Saturday, June 12, 2010

SORRY KWA UKIMYA FAN....NI BATA TU....

Inakuwaje fans??naamini mko pouwa ile mbaya na weekend iko sawasawa,najua wengi mko busy kwenye Tv zenu mkifuatilia mpango mzima wa World Cup pande za kwa MADIBA,sio ishu,mzee wa MNM niko safi kabisa,msione kimya jamani,haya ni mambo ya bata ndogondogo na kubadili mazingira,kwa sasa niko Iringa na mpango mzima ulianza hivi.....


Hapa tuko maswahiba watatu,Arnie Gizzle,mie mzee wa MNM  katikati na mdogo wetu Mark Mgeja,hapa ni baada ya break fupi ya msosi maeneo fulani ya Ruaha M'buyuni mwendo mfupi kabla hatujaingia Iringa town kula bata......


Hapa niko na mdau wangu wa masuala ya burudani,anaitwa Fransic Godwin,ni mwandishi wa habari maarufu sana pande za Iringa,kama zali vile tulikutana katika safari yetu tukaona sio ishu tukipata kitu cha kumbukumbu....


Huu ndio mchuma uliotufikisha salama salmini Iringa,tunamshukuru sana dereva kwa kuwa makini na kutufikisha poa kabisa....ajali nyingi sana siku hizi.....

0 comments: