RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi mwandamizi Marco
Chilya,akiwaonyesha Waandishi wa Habari(hawapo pichani)baadhi ya
milipuko(baruti) a...
Monday, January 17, 2011
ITS MY BIRTHDAY....NA KAZI NDO INAANZA 4 2011..
Ni kitambo kirefu najua mlinimiss ile mbaya...mlimiss vitu ambavyo naamini katika kipindi chote ambacho sikuwa hapa mmeshindwa kuvipata sehemu nyingine yopyote...na ndo maana nimekuwa nikishuhudia IDADI ya wahudhuriaji ikiongezeka japo sikuwa natupia chochote hapa...KIUKWELI mmenipa MOYO sana na nimeamini ninyi ni funs wa UKWELI sana kwangu na MNM kwa ujumla..THANX SO MUCH...sina cha kuwalipa kwa namna yoyote tofauti na kurudi kwa NGUVU zote kuwapa kile mlichokimis...am HERE NOW..nipokeeni jamani...leo ikiwa ni SIKU yangu ya KUZALIWA naitumia kukupeni taarifa kuwa now MNM is alive..tuendeleeni kupashana hili na lile...infos hapa ndo mahali pake..4 anything check nami katika mail yetu ileile bizzo4shizzo@ymail.com....au inbox me kwenye facebook...www.facebook.com/renatuskiluvia...au kiurahisi gonga pale palipoandikwa "niko huku pia" pembezoni mwa blog hii...THANX!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 8:38 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment