BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Monday, April 12, 2010

ETI HEMED ANAKULA MARA 8 KWA SIKU,DUH!!

Hemed(Picha kwa hisani ya Ray The Greatest)
Inakuwaje wadau na fans??mko sawa??naamini weekend ilikuwa poa sana au vipi,its a brand'new week kama kawa kama dawa ni hapahapa katika blog yetu ya burudani tunakutana,tuanze na hii,wakati niko ndani ya gari najijongesha ofisini asubuhi ya leo nikainyaka hii,star wa muvi za kibongo na mwanamuziki wa R&B HEMED SULEIMAN eti anapenda sana kula,na huwa anaweza kula hata mara nane kwa siku,duh!!Hii imenistaajabisha na kunipa majibu ya maswali kibao ambayo nimekuwa nikijiuliza,kiukweli huyu jamaa nimemfahamu kipindi kirefu kdg hata kabla ya TPF-2 iliyomtoa,lakini kwa kipindi kifupi hivi karibuni amenenepa harakaharaka sana,kumbe sababu ni misosiiii alaaaaah!!Si mbaya but akumbuke kuwa yeye ni muigizaji so aki-overweight itakuwa ngumu sana kucheza baadhi ya sehemu katika muvi zinazohitaji wepesi kidogo kama kuruka ukuta ama uzio fulani,kukimbia sana na zinginezo,Hemed "kura ni kura rakini masoesi muhimu,sawa mura"??

0 comments: