BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, April 13, 2010

HEBU SANUKA NA HII!!

Mr Matabane,George Zemdela&Mrs Matabane
Najua nitawastua watu kidogo koz hv sasa watu wamestukia sana tamthilia za ki-venezuela na ki-filipino,lakini hebu turudi kwetu Afrika kwanza,Isidingo(the need) tangu mwezi July 1998 iko hewani mpaka hii leo,ukiuliza watu watakwambia tumeichoka koz ni kama haiishi vile?Ila nataka nikwambie kitu kimoja umeshajaribu kuichungulia kidogo kwa sasa??ni noma mdau wangu,kinachonivutia now ni sakata la mtoto pekee aliyebaki baada ya mmoja kufariki(kitamthilia lakini) katika familia ya Matabane,Persons Matabane(Tshepo Maseko) kutokufanikiwa kumpa ujauzito mkewe mpya Thandi na Thandi kutaka apandikizwe mbegu za kiume za Mzee Matabane mwenyewe ili angalau azae mtoto ambaye atakuwa Matabane's,patamu hapo.
Persons&Thandi(ktk YOU Mag)
Tshepo Maseko ndo Persons katika tamthilia hii,na mmoja kati ya wakongwe wachache wa mwanzo kabisa katika ISIDINGO,alianza akiigiza kama mwanafunzi na amekuwa mpaka sasa ana familia yake na mkewe mpya Thandi baada ya kumtaliki mkewe wa kwanza Nandhipa.Jamaa alizaliwa 1978 Soweto S.A,baada ya kumaliza Kelokitso High School alijiunga na Pretoria Teknikon na kufanya diploma ya National Drama kwhy jamaa hajaungaunga kama wenzangu na mimi hapa Bongo.
 
Persons(Tshepo) with real wife
Mshikaji ni maarufu sana pande hizo na mbali na Isidingo ameshatokea katika tamthilia na tv shows kibao kama "Take 5","Badilammogo","A New Kind of Drawn","The Principle" na zingine nyingi.Pia sasa hivi ame-sign kama star wa docu-drama moja inaitwa "More than just a friend" ambayo itazungumzia ukuzwaji wa mpira wa miguu pande za Robben Island Prison.Hebu ichungulie ISIDINGO now hutaacha tena.....

0 comments: