Iringa pipo!!!!!, hii ni sehemu ingine ya ku-enjoy na kujifunza mengi kila j2 pale Shooters zamani Bottoms Up kuanzia kumi jioni mpaka nne usiku,ka-uchakavu ni buku mbili tu(2000),so! see u there this sunday.
RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA
ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Uh...
1 comments:
Well, Well, Well!!
Great to be here. Keep up the good work and STAY BLESSED.
Post a Comment