BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, June 25, 2010

8 YRZ AGO...98.8 FM...SENGEREMA MWANZA...

BIZZO

Hapa nakumbuka nilikuwa nafanya kipindi cha "Bongo Page",nilikuwa nachapa Bongo Fleva za akili sana na KidBway,Mako Chali,Dj Majizo,Abuubakary Sadiq na washkaji wengine kibao ndio waliokuwa wananitumia nyimbo mpyampya wakati huo,hii ilikuwa ni redio yangu ya pili kupiga mzigo,kabla ya hapa nilikuwa sehemu ingine(ntakudondoshea picha next time),fans huko bado wananikumbuka mpaka leo na huwa wananipigia sana simu,onelove kwa wote wanaonimiss kiukweli coz hata mi pia nawamiss vibaya mno...sapoti yenu ilikuwa ya ukweli sana..

0 comments: