BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, June 23, 2010

HUYU NDIE JUMA NIMJUAE MIMI......

JUMA NATURE

Niwe mkweli jamani,Juma Kassim Kiroboto aka Juma Nature ni mmmoja wa wanaharakati wa muziki wa Bongo mwenye mafanikio sana,hiyo haina ubishi hata chembe,but,Juma Nature wa awali kabisa si Nature huyu wa miaka hii miwili mitatu ya sasa,amebadilika sana kimuziki,kuanzia uandishi,styles mpaka flows,kama wewe ni mfuatiliaji wa karibu wa muziki huu hiyo utakuwa umeigundua...nadhani ndio sababu ya kutoku-shine inavyotakiwa mbali na airtime kiduchu anayopata.Sasa Juma yule tumjuae,yule wa "Jinsi Kijana" na "Sonia" amerudi tena,Juma kaachia mkono mpya kabisa "mtoto mtundu" toka Halisi Records pande za Mbagala Dar,mkono ni mkali na naamini utamrudisha kule alikokuwa mchizi...hebu tumpe nafasi basi tuone...

0 comments: