Keshokutwaaaaaaa!!!!!!!!!!imefika bana,nilikuwa naona mbali kumbe kariiibuuuu,wadau zile tuzo ambazo naweza sema kwa sasa zinaheshimika sana BET Awards 2010 ni keshokutwa tu tar 27,tuzo hizo ambazo mwaka huu ni mwaka wake wa kumi toka zianzishwe zinategemewa kuwa kali sana kuliko miaka yote iliyopita,Mc ni Queen Latifah na tutegemee kuona shows kali kutoka kwa Chris Brown,Lil Wayne,Drake,Nicki Minaj na wasanii wengine kibao tu,mi yangu macho nani atakuwa nani...ntakushushia hapahapa MNM....
ZEC YATANGAZA KURA YA MAPEMA KUPIGWA OKTOBA 28
-
Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar.
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa
mwaka 2025 ambao utahusisha uchaguzi wa ...
0 comments:
Post a Comment