Keshokutwaaaaaaa!!!!!!!!!!imefika bana,nilikuwa naona mbali kumbe kariiibuuuu,wadau zile tuzo ambazo naweza sema kwa sasa zinaheshimika sana BET Awards 2010 ni keshokutwa tu tar 27,tuzo hizo ambazo mwaka huu ni mwaka wake wa kumi toka zianzishwe zinategemewa kuwa kali sana kuliko miaka yote iliyopita,Mc ni Queen Latifah na tutegemee kuona shows kali kutoka kwa Chris Brown,Lil Wayne,Drake,Nicki Minaj na wasanii wengine kibao tu,mi yangu macho nani atakuwa nani...ntakushushia hapahapa MNM....
MSIFANYE KAMPENI KINYEMELA KABLA YA MUDA WAKE -KATIBU CCM KIBAHA MJI
-
*NA VICTOR MASANGU,KIBAHA *
Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha mjini Issack Kalleiya
amekemea vikali tabia ya baadhi ya wanachama kua...
0 comments:
Post a Comment