Operesheni Bagamoyo Yafanikisha Kukamatwa kwa Paketi 1,062 za Mirungi
-
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikiwa
kukamata boti ya mwendokasi iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya
mirungi ...
Tuesday, June 22, 2010
MARADONA'S HAND GOAL 1986..
Mdau,tar kama ya leo mwaka 1986 katika World Cup iliyofanyika Mexico straika Diego maradona wa Argentina(ambaye sasa ni kocha wa timu hiyo) alitikisa nyavu kwa bao la mkono ambalo lilileta utata na mitafaruku kibao dunia nzima,so tulikumbuke ki hivi wakati fainali za mwaka huu zikiendelea huko Afrika ya Kusini....
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:30 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment