Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
Tuesday, June 22, 2010
MARADONA'S HAND GOAL 1986..
Mdau,tar kama ya leo mwaka 1986 katika World Cup iliyofanyika Mexico straika Diego maradona wa Argentina(ambaye sasa ni kocha wa timu hiyo) alitikisa nyavu kwa bao la mkono ambalo lilileta utata na mitafaruku kibao dunia nzima,so tulikumbuke ki hivi wakati fainali za mwaka huu zikiendelea huko Afrika ya Kusini....
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:30 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment