Keshokutwaaaaaaa!!!!!!!!!!imefika bana,nilikuwa naona mbali kumbe kariiibuuuu,wadau zile tuzo ambazo naweza sema kwa sasa zinaheshimika sana BET Awards 2010 ni keshokutwa tu tar 27,tuzo hizo ambazo mwaka huu ni mwaka wake wa kumi toka zianzishwe zinategemewa kuwa kali sana kuliko miaka yote iliyopita,Mc ni Queen Latifah na tutegemee kuona shows kali kutoka kwa Chris Brown,Lil Wayne,Drake,Nicki Minaj na wasanii wengine kibao tu,mi yangu macho nani atakuwa nani...ntakushushia hapahapa MNM....
AKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipi...
0 comments:
Post a Comment