Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
Tuesday, June 1, 2010
SORRY FANS,OUR BLOG WAS ON CONSTRACTION....
Sorry wadau na fans wote wa MNM Blog,kuanzia siku ya jana na muda kidogo wa siku ya leo kama ulipata nafasi ya kupita hapa uliona kama mambo "hayaeleweki" vile,si ndio ehh??usijali,yote hiyo ilikuwa ni katika kuiweka blog yetu vizuri na muonekano mzuri zaidi ili ivutie zaidi,naamini hivi sasa MNM Blog ni nzuri na inavutia,haya ni maboresho ya kawaida ambayo nitakuwa nayafanya kila mara nipatapo nafasi,asante na libeneke linaendelea kama kawa kama dawa...
Posted by RENATUS KILUVIA at 7:56 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment