BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, July 28, 2010

10 YEARS ANNIVERSARY OF LADY JAY DEE MUSIC...

Nimetupiwa hii longtime ila sio ishu nkikutupia wewe leo....


Nawaalika Tena Mzalendo Pub Tar 6 August 2010

Nasherehekea kutimiza miaka 10 tangu niingie kwenye biashara/ kiwanda cha muziki Tanzania
Kuna mengi nilioyafanya mazuri au pengine yasio mazuri lakini nashukuru MUNGU bado ameniweka kwenye ramani.
Tutazindua pia album ya COMBINATION ya Machozi Band, Kutakuwa na Jarida la mitindo la Shear Illusions ambapo ukinunua unapata CD ya bure.
Nitaimba nyimbo zote kutokea album ya MACHOZI, BINTI, MOTO NA SHUKRANI na Collabo nyingine nyingi nilizofanya na watu na ambazo mngependa kuzisikia.
Nawapa fursa ya kuchagua nyimbo mnazozipenda pengine mimi huwa sizipigi
Natumaini kuonana na nyinyi siku hiyo ambapo pia hata stage itakuwa sio ile mliozoea kuiona kila siku
with lots of love and respect to you all


Lady Jay Dee.

0 comments: