BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, July 30, 2010

MY TEAM OF INSPIRATION...RADIO ONE 1995

WALIOKAA MBELE..CHARLES HILARY,MIKIDAD MAHAMOUD
JULIUS NYAISANGA(BAADA YA MZUNGU)..WALIOSIMAMA NYUMA
TOKA KULIA...TAJI LIUNDI(MASTA T),SUNDAY SHOMARI,ABUUBAKAR LIONGO,
MBELE YAKE KUNA LILIAN(MRS TAJI NOW),VICK MSINA,FROLAH NDUCHA,
PIECE KWIYAMBA,MIKE MHAGAMA NA DJ RANKIM RAMADHANI.

Mdau hii haiwezi kuja tokea tena bongo hii...ndo maana naiita "My team of inspiration"...ni DREAM TEAM ya Radio One Stereo mwaka 1995..naikumbuka team hii na nakumbuka mbali sana...nakumbuka "kumepambazuka" ya wakati ule ya kina Piece Kwiyamba na Frolah Nducha...nakumbuka "Dj Show" ya Taji, Mike na Dj Rankim Ramadhani...nakumbuka "Chombeza Time" ya Sunday Shomari, nakumbuka "Chaguo la msikilizaji" ya Mike Mhagama.."Spoti Leo" ya Abuubakar Liongo ambae ndio kawaharibu watangazaji wetu karibu wote wa vipindi vya michezo, nakumbuka "Miwani ya maisha" ya Vick Msina..aahh!!!"Nani zaidi" ya .........,Kweli hii ilikuwa ni Dream Team..na haiwezi rudi tena..watu walipiga kazi na ikaonekana..ama kweli CHA KALE DHAHABU.

MIKE MHAGAMA AKIJIANDAA KUM-INTERVIEW
INNOCENT GALINOMA(KULIA) KTK DJ SHOW
1995.

0 comments: