BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Monday, May 31, 2010

LAST SUNDAY KTK "MILAZO 101" SHOW....

MILLARD&JOSH
Wadau na fans wa MNM mambo vp??naamini weekend yenu ilikuwa bomba sana kama ilivyokuwa yangu au sio??nimewamiss sana kwakweli lakini ndo hivi tena j3 ingine tunakutana hapahapa kujuzana yaliyo mengi ya kiburudani zaidi ndani ya blog yetu ya burudani(Muziki Na Maisha).Ishu hii nilitakiwa niipost last friday kama nilivyokujuza awali,ni segment mpya ktk blog hii,lakini niwieni radhi jamani kwa sababu zilizokuwa nje kabisa ya uwezo wangu ikawa ngumu kwakweli,ila sio ishu naweza tu kukujuza ni nini kilifanyika jana ktk show namba wani Bongo now "Milazo 101" ya Redio One,kwanza alisikika Mashonda mke wa zamani wa Swiz Beats akiuzungumzia uhusiano wa aliyekuwa mume wake(Swiz Beats) na mwanamuziki Alicia Keys pia yalisikika mahojiano marefu na yakusikitisha ya mwanamuziki kutoka Burundi KIDUM,toka enzi alipokimbia vita miaka kumi na tano iliyopita nchini kwao mpaka kuwa star wa muziki Afrika na Mashariki bila kusahau A.Y ambaye alipita studio mara moja kutoa hi kwa fans wote wa show na kupata nafasi ndogo ya kuzizungumzia collabo zake na Sean Kingstone na J-Martins,kuanzia saa kumi na moja na nusu zikasikia ngoma kali tano ktk "FAT 5",Eminem na "Not Afraid" ikiwa ktk jackpot(nafasi ya kwanza) kwa wiki ya pili mfululizo,hiyo ndio "Milazo 101" show new season with new level and new swagz,kama uliikosa wiki iliyopita wiki hii usiikose,kwa wale wa mbele waweza isikiliza show ya jana kupitia www.babkubwa.ning.com/profile/milazo101.

0 comments: