Kutokana na maombi ya watazamaji kibao ambao hawakupata nafasi ya kucheki "tupo pamoja" show ya TTV wiki iliyopita,kwa kuwa wengi walikuwa karibu kufuatilia utoaji na upokeaji wa tunzo za Kilimanjaro Tanzania,kipindi cha "tupo pamoja" cha wiki iliyopita kitarudiwa leo,katika SIDE A alikaa kitini mtu mzima Ney wa Mitego na SIDE B aliwekwa "kitimotozz" mtayarishaji bora wa video Bongo(2008-2009) John Kallage wa Kallage Pictures,usikose show hii ya ukweli na mtu mzima ARNIE GIZZLE kwenye "kioo" chako mishale ya saa tatu kamili usiku,Don't Miss d' Show.TUPO PAMOJA.
MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA UFADHILI WA MAENDELEO
NCHINI HISPANIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4)
un...
0 comments:
Post a Comment