Baada ya wiki iliyopita kumtembelea KING wa wote katika R&B huko mbele mtu mzima R-Kelly,na tukaichambua na kuitazama kwa pamoja albam yake ya sasa "UNTITLED", leo tunaweka usawa wa kijinsia kwa kumcheki mdada anaitwa KATRINA LAVERNE TAYLOR aka TRINA na mzigo wake unaotisha unaitwa "AMAZIN".Mwanadada huyu alizaliwa Dec 3 mwaka 1978 na sasa amekuwa nominated katika tunzo za BET katika category ya "The Best Female Hiphop Artist" 2010.Kihistoria Trina anatoka MIAMI Florida United States na amekulia katika maisha ya tabu sana,kimuziki alianza kusikika katika collabo na Tricky Daddy ngoma iliitwa "Nann Nigga" mwaka 1998,baadae akasaini Slip-N-Slide Records akaachia mzigo wake wa kwanza mwaka 2000 kwa jina "Da Baddest B***ch",baadae akaanza kuachia albams mwaka hadi mwaka kama "Diamond Princess"(2002),"No Patients"(2004),"Glamorest life"(2005),"Here We go Again"(2006) and "Still the Baddest"(2008).
RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA
ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Uh...
0 comments:
Post a Comment