Miaka miwili iliyopita ulikuwa rafiki yangu sana,nakumbuka tulikuwa tunapiga stori hata mpk saa saba za usiku,kiukweli nilikuwa na wakati mzuri sana,nilifurahi na kuenjoy ile mbaya,u r cute,charming and kind,lakini kwanini siku hizi hunikumbuki???nilikukosea nini???nambie niseme SORRY,simu yako haipatikani,nadhani umebadili namba,kwanini???nikumbuke basi jamani???mimi nakukumbuka sana coz daily lazima nipite kiduchu.blogspot japo kukuona tu.NIMEKUMISS.
SEMA NA WAZIRI YAAMSHA MATUMAINI; KERO 29 ZA WANANCHI ZAANZA KUPATIWA
UFUMBUZI
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa
haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na ...



0 comments:
Post a Comment