Hii ndio album cover ambayo imechukuwa jackpot kwenye covers kibao za albam za mtoni nlokwishawahi kuziona,before sjaiona hii album cover ilokuwa jackpot ni albam ya mtu mzima SCARFACE ya mwaka 1995 kama unakumbuka vizuri,albam iliitwa "The Diary",so kwa maana hiyo basi hii imeizidi ile,hii ni albam ya "dogo" Wayne(mi namwita dogo n don' ask me why) inaitwa "The Cater III.Kazi imeanza sasa.
MEYA MANISPAA YA KIBAHA AFUNGA VIWANDA VIWILI MISUGUSUGU KWA UCHAFUZI WA
MAZINGIRA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MSTAHIKI MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa amri ya
kufungwa kwa viwanda viwili kwa kosa la kutiririsha maji...



0 comments:
Post a Comment