Hii ndio album cover ambayo imechukuwa jackpot kwenye covers kibao za albam za mtoni nlokwishawahi kuziona,before sjaiona hii album cover ilokuwa jackpot ni albam ya mtu mzima SCARFACE ya mwaka 1995 kama unakumbuka vizuri,albam iliitwa "The Diary",so kwa maana hiyo basi hii imeizidi ile,hii ni albam ya "dogo" Wayne(mi namwita dogo n don' ask me why) inaitwa "The Cater III.Kazi imeanza sasa.
Benki ya CRDB yatoa zawadi kwa watoto Muhimbili, yamuaga Profesa Janabi
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia)
akimkabidhi zawadi Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda
ya Afrika, ...
0 comments:
Post a Comment