Benki ya Absa Tanzania yatoa Shs Milioni 18 kwa washindi wa Kampeni ya
‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa, ikitambulisha udhamini wa safari ya
mteja na mwenza wake kushuhudia Tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne
Afrika’ nchini Afrika Kusini.
-
BENKI ya Absa Tanzania imesema imefanya uwekezaji mkubwa katika huduma zake
za kibenki kwa njia ya kidigitali, hususani zinazohusisha matumizi ya kadi
ili...
Thursday, April 1, 2010
DJ CHANCY nakukumbuka sana kaka!!!!!
Dj Chany(Tripple "A")
Kaka nakukumbuka sana kaka,wakati nafanya field 87.5 Kili fm-Moshi mwaka 2007 tulikuwa karibu sana,nilikuwa nawe katika shows karibu zote ulizokuwa unafanya pale,naikumbuka show moja kali sana ulikuwa unaifanya na FDK-One "The Storm" mchana kuanzia 8:00-10:00 jioni,wewe ni mkali sana na naamini ukali wako umezidi mara dufu sasa kwakuwa uko na wanaoijua kazi hasa (Tripple "A" fm).Nakutakia kazi njema ya usukumaji wa gurudumu la burudani huko pande za A-Town.
Posted by RENATUS KILUVIA at 3:48 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



1 comments:
Safi kabisa karibu sana ndugu hapo umetufikisha penyewe haswaaa.
Post a Comment