COSTECH YAWAHAMASISHA WANAFUNZI KUJIKITA KATIKA UBUNIFU NA SAYANSI
-
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) imewatembelea wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mbwenitete jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya
maadhimis...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment