RC CHALAMILA MASHINDANO YA AFCON YATUMIKE KIBIASHARA
-
*Awataka wananchi kuzitazama vyema fursa zitakazotokana na mashindano hayo
kujikwamua kiuchumi
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefany...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment