Walimu Bora wa Dodoma Waenda Korea Kusini Kusaka Maarifa Mapya.
-
Na Mwandishi Wetu
UJUMBE wa walimu na viongozi wa elimu kutoka Mkoa wa Dodoma wapatao 40
umeondoka kwenda Korea Kusini kujifunza mbinu za kisasa za ...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment