Oryx Gas Yasambaza Gesi kwa Bei Nafuu kwa Magereza – Elimu ya Usalama Pia
Yatolewa
-
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Wakala wa Nishati Safi Tanzania
(REA) wamezindua rasmi mradi mkubwa ambao utawafikia na kuwawezes...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment