MIAKA MITANO TANZANIA BILA JPM
-
*Miaka Mitano Siku Zaidi ya Siku 1800 Tangu kifo cha Rais Wa Awamu ya Tano
Hayati Dkt, John Pombe Magufuli *
#kazinangoma ya 93.7 Jembe Fm inaungana ...
Monday, March 29, 2010
HAPPY BIRTHDAY DI' DADA!!
Japo hujasema ni kalenda ya ngapi umechana leo lakini kwangu sio ishu,mi nakutakia tu uchane kalenda mia zaidi na kila ndoto unayoota iwe kweli,happy birthday bi' dada!!!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:18 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



2 comments:
Hongera Agness!
ha ha ha...ahsante jamani kija, ndoto nyingine za kutisha bwana...sasa zikiwa kweli ntaishi kweli nduguyo? hahaa haa. ubarikiwe saaana kaka...pa1
Post a Comment