Media patner wa Channel O "Conscious Soul Ent" na "Urbun Phenomenon Ent" wanamleta American Rapper "Canibus" live ndani ya Bassline Newtown South Africa Ijumaa kuu hii ya tar 2.
Mchizi ana asili ya Senegal pia(kama Akon) na alianza mapema sana akiwa karibu zaidi na memba wa zamani wa Fugeez "Wyclef Jean" jamaa pia alishawahi kuwa ndani ya beef zito na mkongwe LL Cool J kipindi fulani hivi,alishawahi kupiga mzigo na washkaji kibao kama Wyclef Jean mwenyewe,Kurupt toka Dog Pound,Rass Kass,Kool G Rap,Keith Murray,Heltah Skeitah,Jed Mind Tricks,Redman,R.Kelly na machizi wengine kibao.Kama wallet iko poa hebu jisogeze tuoneee!!!
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON 2027.
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya
Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia
hatua mba...




0 comments:
Post a Comment