Hongera mshikaji wangu wa longtime na kufa na kuzikana Liberatus Musiba aka Odele aka Baba Nyambela kwa kutuletea mtoto mzuri wa kike aitwae Nyambela,mimi nimefurahi sana kwakweli kwa 7bu imekuwa surprise kwetu wengi,lakini kwanini hukutaka kutuambia kuwa mkeo mpendwa Junko Kato ni mjamzito??naamini ulitaka kufanya surprise na kweli umefanikiwa,mimi sina mengi kwakweli ila kukupongeza na kukukaribisha katika ulimwengu huu wa "kuitwa baba",wenzako tulishakutangulia muda kidogo,nawatakia furaha njema wewe na familia yako yote huko Tokyo Japan,msalimie mkeo Junko na "mgeni wetu" Nyambela.
TUGHE yYANOA VIONGOZI KUHUSU AI NA TEKNOLIJIA ZA KIDIGITALI KAZINI.
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimewakutanisha
viongozi wa matawi na waajiri zaidi ya 800 kutoka...
0 comments:
Post a Comment