Poleni kwa bata ndefu wadau na fans wangu wote wa blog ya burudani,kiukweli ndugu zangu Pasaka kwangu ilikuwa njema sana,na namshukuru MUNGU kwa Pasaka njema,naamini kwako pia ilikuwa njema,Pasaka kwakweli wadau mimi binafsi sikupata nafasi ya kutoka kwenda popote zaidi ya ibada tatu nilizopata nafasi ya kuhudhuria,nilipata nafasi ya kuhudhuria ibada ya Pasaka jumamosi ya mkesha wa Pasaka usiku kwenye Kanisa Katoliki Dayosisi ya Manzese Uzuri,nikashuhudia igizo maalum la pasaka,kiukweli niliienjoy sana,jumapili pia nikahudhuria ibada ya pili palepale kanisani,baada ya ibada nikatulia nyumbani nikicheki muvi za hapa na pale mpaka siku ikaisha,jumatatu ya jana nilihudhuria pia ibada ya pili palepale kanisani kwetu Manzese na baada ya hapo nikajongea zangu kazini kama kawa,so pasaka ilikuwa kama hivyo,hebu nawe pia nijuze unambie pasaka yako ilikuwaje???ukishindwa kucomment nicheki katika bizzo4shizzo@ymail.com
MBODO AKUTANA NA POSTAMASTA WAKUU WASTAAFU KUBADILISHANA UZOEFU ILI
KUIMARISHA POSTA
-
Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo, amekutana na Mapostamasta Wakuu Wastaafu
katika kikao maalum kilicholenga kubadilishana uzoefu juu ya namna ya
kuendel...
0 comments:
Post a Comment