Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba mchizi kutoka Kampala anakwenda kwa jina la Daniel Kigozi aka NAVIO amekula shavu kufanya ngoma na producer na rapper kutoka nchini Marekani Timberland.Navio ambae yuko kwenye lebo ya Talent 256 anasema sasa ndoto zake zinatimia coz amehustle kwa muda mrefu sana kufanya kazi na star yeyote toka mbele,nadhani hii ndo nafasi ya jamaa kutoka kimataifa,hebu tumsikilizie au vp....
Burudani Mpya Ya Kasino Imefika, Slotopia Kuleta Mzuka Meridianbet
-
MERIDIANBET wanajivunia kuwaletea wapenzi wa kasino mtandaoni jambo jipya
linaloweza kubadilisha kila mzunguko kuwa tukio la kushangaza. Slotopia amein...



0 comments:
Post a Comment