Poleni kwa bata ndefu wadau na fans wangu wote wa blog ya burudani,kiukweli ndugu zangu Pasaka kwangu ilikuwa njema sana,na namshukuru MUNGU kwa Pasaka njema,naamini kwako pia ilikuwa njema,Pasaka kwakweli wadau mimi binafsi sikupata nafasi ya kutoka kwenda popote zaidi ya ibada tatu nilizopata nafasi ya kuhudhuria,nilipata nafasi ya kuhudhuria ibada ya Pasaka jumamosi ya mkesha wa Pasaka usiku kwenye Kanisa Katoliki Dayosisi ya Manzese Uzuri,nikashuhudia igizo maalum la pasaka,kiukweli niliienjoy sana,jumapili pia nikahudhuria ibada ya pili palepale kanisani,baada ya ibada nikatulia nyumbani nikicheki muvi za hapa na pale mpaka siku ikaisha,jumatatu ya jana nilihudhuria pia ibada ya pili palepale kanisani kwetu Manzese na baada ya hapo nikajongea zangu kazini kama kawa,so pasaka ilikuwa kama hivyo,hebu nawe pia nijuze unambie pasaka yako ilikuwaje???ukishindwa kucomment nicheki katika bizzo4shizzo@ymail.com
WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA DHANA POTOFU KWAMBA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
NI GHARAMA
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewasihi Watanzania kote nchini kuachana
na dhana ya kwamba Nishati Safi ya Kupikia ni gharama ikilinganishwa na
matumizi...
0 comments:
Post a Comment