HASHEEM THABEET MANKA
Mdau na fans wangu,jana katika pitapita zangu kwenye foleni zetu za mataa ya jiji hili ni kama sikuamini vile,pembeni yangu ikapaki gari moja ya maana sana,achana na hizi Range Rover Sport zilizojaa hivi sasa hapa town za milioni 45 mpaka 50,ilipaki Range Rover Vogue halisi ya "ukweli" ambayo bei yake kwa harakaharaka ni kama 250 mil za kibongo na ndani yake alikuwamo mchezaji anayechezea timu ya mpira wa kikapu ya Merphis Grizzlies inayoshiriki ligi nambari moja ya kikapu duniani ya NBA Hasheem Thabeet Manka,sasa ndo nikagundua kumbe mshikaji yuko town.Karibu home bwana,mvua mvua ndo hii na kijotojoto kimepungua kidogo tuna-enjoy kiaina.
RANGE ROVER VOGUE
JAB YAWEKA SHARTI LA ITHIBATI SAMIA KALAMU 2026
-
Na Mwandishi Wetu
Waandishi wa Habari watakaoshiriki Tuzo za Uandishi wa Habari na Makala za
Maendeleo (Samia Kalamu Awards - SKA) 2026 wamelazimika kuki...





0 comments:
Post a Comment