Ilikuwa ni j5 ya wiki iliyopita,nilitoa kama ka-quiz hivi,nilitoa picha ya mtoto huyo hapo juu na kuuliza "Guess who is this",najua wengi walishindwa ku-comment coz najua blog yetu ina tatizo kidogo kwenye ku-comment,lakini wale waliopata nafasi ya kuniandikia emails wote walikosa,jamani huyu niiiiiiiii!!!!!!!
MAKO CHALI,producer mkali wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo,yuko pale MJ RECORDS.Thanx kwa wote walionitumia emails na tuendelee kushirikiana na blog yetu ya burudani.
Meridianbet Missions, Njia Mpya Ya Kuburudika Na Kushinda Zaidi
-
KARIBU kwenye msimu mpya wa michezo ya kasino kupitia Meridianbet Missions,
mfumo wa kipekee uliobuniwa kwa ajili ya wapenzi wa michezo ya kubashiri.
...
0 comments:
Post a Comment