Ilikuwa ni j5 ya wiki iliyopita,nilitoa kama ka-quiz hivi,nilitoa picha ya mtoto huyo hapo juu na kuuliza "Guess who is this",najua wengi walishindwa ku-comment coz najua blog yetu ina tatizo kidogo kwenye ku-comment,lakini wale waliopata nafasi ya kuniandikia emails wote walikosa,jamani huyu niiiiiiiii!!!!!!!
MAKO CHALI,producer mkali wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo,yuko pale MJ RECORDS.Thanx kwa wote walionitumia emails na tuendelee kushirikiana na blog yetu ya burudani.
Serikali Yawahakikishia Usalama Watanzania Walioko Israel na Iran
-
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewahakikishia wananchi kuwa
Watanzania walioko nchini Israel na Iran wako salama, licha ya hali tete ya
usa...
0 comments:
Post a Comment