Ilikuwa ni j5 ya wiki iliyopita,nilitoa kama ka-quiz hivi,nilitoa picha ya mtoto huyo hapo juu na kuuliza "Guess who is this",najua wengi walishindwa ku-comment coz najua blog yetu ina tatizo kidogo kwenye ku-comment,lakini wale waliopata nafasi ya kuniandikia emails wote walikosa,jamani huyu niiiiiiiii!!!!!!!
MAKO CHALI,producer mkali wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo,yuko pale MJ RECORDS.Thanx kwa wote walionitumia emails na tuendelee kushirikiana na blog yetu ya burudani.
WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 ameshiriki mazishi
ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu
Mw...





0 comments:
Post a Comment