J-MARTINS
Ijumaa hii nitakuwa na albam ya mchizi huyu kutoka pande za Nigeria ambaye hivi sasa yuko kwenye ardhi ya J.K akipiga tour yakutosha tu,albam inaitwa "Elevated".Usikose kupitia blog hii ya burudani ili kujua zaidi......au vipi!!!!
SEMA NA WAZIRI YAAMSHA MATUMAINI; KERO 29 ZA WANANCHI ZAANZA KUPATIWA
UFUMBUZI
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa
haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na ...




0 comments:
Post a Comment