J-MARTINS
Ijumaa hii nitakuwa na albam ya mchizi huyu kutoka pande za Nigeria ambaye hivi sasa yuko kwenye ardhi ya J.K akipiga tour yakutosha tu,albam inaitwa "Elevated".Usikose kupitia blog hii ya burudani ili kujua zaidi......au vipi!!!!
Wakili Kipangula: Ukweli ni Mlinzi wa Taaluma ya Habari
-
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM — Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa
Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa uhar...




0 comments:
Post a Comment