J-MARTINS
Ijumaa hii nitakuwa na albam ya mchizi huyu kutoka pande za Nigeria ambaye hivi sasa yuko kwenye ardhi ya J.K akipiga tour yakutosha tu,albam inaitwa "Elevated".Usikose kupitia blog hii ya burudani ili kujua zaidi......au vipi!!!!
SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI
-
TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa
kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais
Samia Sul...
0 comments:
Post a Comment